Thursday, May 26, 2016

marlaw rita

[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
[Verse 1]
Rita we unajua jinsi gani mimi na wewe tulivyopendana
Jitoa sadaka kimapenzi ili mradi tusijetengana
Ila we unajua ni yako familia
Damu yangu ya Bongo si ya Asia
Ndo kigezo cha wao kunitosa
Mara mbili risasi wamenikosa
Kumbuka ile mimba ndio iliyokufanya ukaja kwangu (ulifukuzwa kwenu)
Ulijifunguapo mtoto na wote mkaishi kwangu (ukawachukiza kwenu)
Na taarifa ikaja kwako wewe Rita
Uende Arusha nduguzo wanakwita
Ukani-kiss kiss mimi na mtoto,
Nikaku-kiss ee eehee
[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
[Verse 2]
Ni tangu Arusha hadi Iringa simu inaita unapokea unalia
Kurudi Iringa uishi nami ndugu zako wamekuzuia
Ukasema laiti ungejua
Usingekubali uondokee pekee
Mwanao analia
Ona mumeo ni bora ninywe pombe
Ila kwa penzi uka-force kurudi
Piga simu mume wangu nakuja
Na maneno ya konda kwenye basi ulifika
Alikupa siti ukakaa, ulipokaa ukakaa
Ile siku mi nimelelewa
Niko mi na mwanangu, kumpokea mke wangu
Konda akasema si wewe, ila tu mwili wako
[Chorus]
Sauti inasikika
Tega makini, hujui nani inamwita
Chozi lanitoka
Nitazamapo angani, naona sura ya Rita
Ona mikono yangu mitupu
Imezoea kukushika we
Hata nyumbani kwangu haupo
Umepotea sikuoni kwamwe
Ooh Rita, ooh Rita
Daily nakuwaza wee
Ooh Rita, ooh Rita
Mimi nitanyamazaje?
Ooh Rita Rita ahh
Na Marco Chali
Ndani ya MJ Records
This is true story to Marco
Rita, Rita, Rita
Aaah hata nyumbani kwangu haupo!

No comments:

Post a Comment