Wednesday, July 20, 2022

Nikikuona ft. Alikiba - Nay Wa Mitego lyrics

 


Nikikuona ft. Alikiba - Nay Wa Mitego lyrics

...

koo unanikosha we ndo faraja yangu usawa huu

wengine walini tocha kisa sinavyangu tembea kwa miguu

mungu fundi ameniletea wewe

unavyo nikata nakwita kiwemba

ukiwa shambani unanitaga jembe


ukichoka bongo twende kwa Madiba

nau Papa bongo watakuiba

jinsi ulivyo mzuri unanipa shida

nanilivyo na manguvu si ntawapiga


I'me love I'me love I'me love I'me love too

I'me love I'me love I'me love I'me love too


nikikwona na sweeti ayayaa

kabla ujani petipeti .ayaya

wendo yangu every Tait ayaayaa

ayayaaaha


nikikwona na sweeti ayayaa

kabla ujani petipeti .ayaya

wendo yangu every Tait ayaayaa

ayayaaaha

ume go yo fire moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana

ulivyo mget Tayd walojalibu kukuiba Nisha wafanya kitu mbaya


bby you change my life ikitokea tukiacha

mungu akupe good life Imani yangu inanituma mpaka mauti wewe ndyo wife

sipendelei ugomvi alafu jua uki fite


mama unaniweka roho juju

nataka twende town kwa miguu

penzi lako noma changanya na jujuu

nakama Shure wewe ni Shure kuu

ukichoka bongo twende kwa Madiba

nau Papa bongo watakuiba

jinsi ulivyo mzuri unanipa shida

nanilivyo na manguvu si ntawapiga


I'me love I'me love I'me love I'me love too

I'me love I'me love I'me love I'me love too


nikikwona na sweeti ayayaa

kabla ujani petipeti .ayaya

wendo yangu every Tait ayaayaa

ayayaaaha



nikikwona na sweeti ayayaa

kabla ujani petipeti .ayaya

wendo yangu every Tait ayaayaa

ayayaaaha


mama unaniweka roho juju

nataka twende town kwa miguu

penzi lako noma changanya na jujuu

nakama Shure wewe ni Shure kuu

ukichoka bongo twende kwa Madiba

nau Papa bongo watakuiba

jinsi ulivyo mzuri unanipa shida

nanilivyo na manguvu si ntawapiga


ume go yo fire moyoni wangu sitaweka mwiba nitaulinda usiku mchana

ulivyo mget Tayd walojalibu kukuiba Nisha wafanya kitu mbaya


nikikwona na sweeti ayayaa

kabla ujani petipeti .ayaya

wendo yangu every Tait ayaayaa

ayayaaaha


No comments:

Post a Comment