Wednesday, July 20, 2022

Kusah- Huba Lyrics

 Kusah- Huba Lyrics

Jamani huba limekolea moto lanichoma vibaya

Nataka muda niliwazue vyema nisifike pabaya

Naganda luba kanikwatua moyo kanishika pabaya

Nanina muda sijawah ona penzi kama lake

Ananifanya ka mtoto yani binuabinua mpka kwenye ndoto

Anang'ataga na mito alafu mm wake sinyorito

Uuyeee aah

Limekolea moto limekolea moto limekolea moto iyoo

Mapenzi si kitoto mapenzi si kitoto mapenzi si ki toto

Husije basi ukaniacha soloo (mapenzi nayajuaa)

Mwenzio mm wataniona koloo(watanisema nitaumiaa)

Husije basi ukaniacha solo (presha itasumbua)

Wenzio mm wataniona kolo (iyeiyeiyeiye)

Mmmmh

Labda kuna ndumba aah sio bure au unanikoroga

Moyo unanidundadunda aah sio bure au unanikoroga

Nawaza labda sijiwezi labda

Au labda ni mapenzi labda

Nawaza labda nikizizi labda

Au labda umeniganda labda

Unanifanya ka mtoto yani binuabinua mpka kwenye ndoto

Anang'ataga na mito alafu mimi wake sinyorito

Uyee aaah

Limekolea moto limekolea moto limekolea moto iyoo

Mapenzi si kitoto mapenzi si kitoto mapenzi si kitoto

Husije basi ukaniacha solo (mapenzi nayajua)

Wenzio mimi wataniona kolo (watanisema nitaumia)

Husije basi ukaniacha solo (presha itasumbua mama)

Wenzio mimi wataniona kolo (iyeiyee)

Siri ya penzi ni kushikana

Mimi nawe baby kupenda

Tukikosea kusameheana

Kwenye makosa kuambilizana baby

Tusilivunje penzi upepo ukazoa ikaenda na sunamii iyeiyeee


Husije basi ukaniacha solo

Wenzio mm wataniona kolo x2"

 

No comments:

Post a Comment