Wednesday, July 20, 2022

Nakupenda - Jay Melody Lyrics

 Nakupenda - Jay Melody Lyrics

...

Iwe giza baridi na upepo

iwe kuna mawingu na minyesho

your body baby joto


unafanya nijihisi special

unanipa sababu ya uwepo

kando yako we mtoto

my desire

we nipe dawa

mi mahututi

sijielewi ooh my god



shida ni nimekolea penzini

shida ni baby uko moyoni

wewe



nakupenda we

nakutaka we

kwako sijiwezi

oooh my love


mpenzi we

roho yangu we

kwako sjiwezi

oooh my love



Akili mwili baby

hasira yangu navituliza

ukiongea nasikiliza yote

sababu ya upendo


pili pili baby

vindimu chumvi ya kunyunyiza

yani uroda kupitiliza

nimeumaliza mwendo


kiukweli

napendwa

nachanganywa

na haya ma-raha


Shida ni nimekolea penzini

shida ni baby uko moyoni

wewe


Nakupenda we (anhaa)

nakutaka we (oh nana nana)

kwako sijiwezi

oooh my love (oooh my baby)


Mpenzi we (ooh nonono)

roho yangu we(aaah yayaya)

kwako sijiwezi (ooh uoh)

oooh My love (oooh naneh)"

 

No comments:

Post a Comment