Wednesday, July 20, 2022

Niamini ft. Alikiba - Hamadai Lyrics

 


Niamini ft. Alikiba - Hamadai Lyrics

...

eyyoooo


oh beby mwezi hauishi takuvisha pete

niaamiiini

vicheche sina mpango nao nimeacha mapepe

niaamiiini

takutunza takupamba umeremete

niaamiini

me kwako sina ujanja ah mpechempeche

niaamiini


CHORUS

beb niamini ,

beb niamini,

nakuomba niamini,

bebi niamini ,

niaminii ,oooh .., niamin

niaaminii


sasa hivi nkienda hata dem ctongozi

niaaminii

hata kulewa silewi namuogopa mwokozi

niaaminii

sitamani kuona ukilia takufuta machozi

niaaminii

takukanda kanda takunyoosha masozyy

niaminiii


CHORUS

beb niamini

beb niamini, nakuomba niamini

beb niamini

niamini, ooh,,.niamin

niaaminnii


tajenga sanamu lako pale posta wakipita wakuone

niaminiii

kwene shoo nitataja jina lako tu wenye wivu iwachome

niaaminii

mmmmhh, nakupeenda beeib

niaamiini

kama uamini nikupost beeib

niaamini



CHORUS

beb niamini

beb niamini , nakuomba niamini

beb niamini

niamini,, ooh niamini

niaamiinii


natamani nkupe mimba, kichefuchefu nibaki nacho mwenyew

niamiiini

ama niende Tandahimba, nkuchinjia mbuzi unielewe

niaamini

ukitaka nyimbo takuimbia kikongo, sonni wela

niaaminii

sitatumia fimboo, ukinkosea takuchapa na helaa

niaminii


CHORUS

beb niamini

beb niamini,,nakuomba niamini

beb niamiini

niamini,, ooh.. niamini

niaamiiiinnii


ukipata case ya kufungwa nipo radhi wanipeleke mimi jeller

niamiini

uta enjoy life bebee japokuwa hali yangu kabwela

niaaminii


talk to me

bas niamini

ooh beiby

.. niamini,. niamin oooh ,niamiiniiiii

niaaminii

.................

eyyoooo

yeap

.............

ye baba

eeeeh

ooooh

Hamadai

..... ,,,,,,,,,

NIAAMIINI"

 

No comments:

Post a Comment