Wednesday, July 20, 2022

Komesha - Lava Lava Lyrics

 Komesha - Lava Lava Lyrics


Ye ye ye yeah

Sitojifanya maproso

Nikaja kukudanganya

Ukakumbuka before

Ntakupenda mpaka useme poo

Kwako nitang'ang'ana I'll never let you go

Mtegoni nimenasa ka tandabui kwa ukuta

Believe me I don't lie (I don't lie)

Nishaacha anasa nimeweka nukta

I'm ready to fly (I'm ready to fly with you baby)


Yeah mengi yatasemwa kwamba mimi ni player

Wanapenda tukigombana

Eti nakuchezea

Roho zawauma tumebaki kidedea

Twende tukiongozana

Wawili kama pair

Vunja kabati

Vunja kabati

Vaa pendeza nogesha tutoke

Baby vunja kabati oh

Komesha komesha (aristotee)

Fanya unajipinda pinda kata

Mugongo pinda pinda kata

Fanya unajipinda pinda kata

Mugongo pinda pinda kata


Ye ye ye yeah

Nshatafuta location twende vacation tujichimbie kiaina

Tupost makopa passion juice mango passion tukomeshe kina daina

You give me temptation mwendo wako motion

Kijungu ka brand china

Unapendeza bila fashion you're my perfection

Wala huhitaji designer

Sa go down cheza jeje (jeje)

Nyonga legeza lege (jeje)

Kiuno nfinyie kwa tege (jeje)

Nchanganyie rojo kwa zege (jeje)


Yeah mengi yatasemwa kwamba mimi ni player

Wanapenda tukigombana

Eti nakuchezea

Roho zawauma tumebaki kidedea

Twende tukiongozana

Wawili kama pair

Vunja kabati

Vunja kabati

Vaa pendeza nogesha tutoke

Baby vunja kabati oh

Komesha komesha (Aristotee)

Fanya unajipinda pinda kata

Mugongo pinda pinda kata

Fanya unajipinda pinda kata

Mugongo pinda pinda kata


Remix killer"

 

No comments:

Post a Comment