Thursday, July 21, 2022

Cheketua - Barnaba Classic Lyrics

 Cheketua - Barnaba Classic Lyrics

...

Nikupe habari

tangu ni rudi safari

nikakupata kimwali

tumeshinda zawadi

nitazungumza nae

bibi na babu wataridhia

siku ya ndoa shela wigi

mie kanzu na djambia

tumeshinda vizingiti

wambea hamtutishi

maneno yenu uchafu

yeye sabuni mie jiki

mtasubiri mazishi

sisi bado tunaishi

utamu wa wali nazi

uule na parachichi

ahii mwali wangu (cheketua)

we ndiwe tunu yangu (cheketua)

mbeba siri zangu (cheketua)

mwenye tamu yangu (cheketua)

ahii mama (cheketua)

tumetoka far away (cheketua)

waache waongee (cheketua)

maneno yao usijali

peke peke peke peke

I dedicate this song to you baby

my heart is for you baby

the boss! love is good baby

Verse 2 ( Alikiba )

nikupe oh nikupe oh mi-dollar

Arusha na Manyara ama nikupe Dar

nikupe fahari

nikupe dinari

nikupe bahari

samaki waishi mbali

roho zinawapinga

waambie ugonile

naaga nkasi wangu (boi boi boi boi)

tumeruka vizingiti

wambea hamtutishi

utamu wa wali nazi

uutafune na ndizi

nahisi mama asali yangu wehhh

aje mama mkwe

akupe na zawadi

ahii mwali wangu (cheketua)

we ndiwe tunu yangu (cheketua)

mbeba siri zangu (cheketua)

mwenye tamu yangu (cheketua)

ahii mama (cheketua)

tumetoka far away (cheketua)

waache waongee (cheketua)

maneno yao usijali

peke peke peke peke

papa papa mhh

ahii mama ahii mama

ahii mama ayeh peke peke peke

ahii waache waongee mhhh

peke peke peke peke

ahii mama

tumetoka far away(x2)

Barnaba

tausi ndege wangu (cheketua)

ndege wangu wa thamani (cheketua)

ndege uloshika mali (cheketua)

na vitu vyangu vya thamani (cheketua)

mie Adamu ye ndo Hawa (cheketua)

nipe tu mama (cheketua)

cheke cheke cheke (cheketua)

mhhhh (cheketua)

yaaahhhh

Mopao


No comments:

Post a Comment