Thursday, July 21, 2022

For You - Marioo Lyrics

 


For You - Marioo Lyrics

...

Shi! aaaah ah, mmmh mh

(Sounds by Abbah)

Ah hii dunia kumbe tamu

Nilikuwa wapi kuenjoy wanadamu

Yaani dunia kumbe tamu

Mimi nilikuwa wapi mmmh

We unanipatia maana nilishalalia sana

Nakujikatia tamaa ooh lalale

Unavyonipatia ooh mama najifia

Ama umenipania ooh lalale

Aah baby you are my angel

Kwenye raha zamia mwenzio

Oh my gash, ah let me sing for you

Let me sing for you

Tarara tarara ta!

Ah mmmh tarara tarara ta!

Let me sing for you

Tarara tarara ta!

Ah I love you

Tarara tarara ta!

I love you aaah aaai..mmh

Kukuona faraja moyoni

Hata nikikosa kujaza tumbo

Kwa vichipsi sijali, oh yeah

Vile jinsi nina furaha moyoni

Nahisi kushiba hata mje kautumbo

Katanitosha kaugali, oh yeah

Unanipatia maana nilishalalia sana

Nakujikatia tamaa ooh lalale

Unavyonipatia ooh mama najifia

Ama umenipania ooh lalale

Aah baby you are my angel

Kwenye raha zamia mwenzio

Oh my gash, ah let me sing for you

Let me sing for you

Tarara tarara ta!

Ah mmmh tarara tarara ta!

Let me sing for you

Tarara tarara ta!

Ah I love you

Tarara tarara ta!

Aaah I'm in love with you aah aah..ooh

Tarara tara

(The Mix Killer)"

 

No comments:

Post a Comment